Nicole apandishwa Kizimbani


 Msanii wa Bongo Movie, Joyce Mbaga maarufu "Nicole Berry' leo Machi 10 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam akikabiliwa na  mashitaka mbalimbali yakiwemo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kupitia akaunti yake ya Whatsap.

Nicole amefikishwa katika mahakama hiyo ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam liripoti kumshikilia kwa tuhuma hizo.

Machi 3 mwaka 2025 baadhi ya watu walijitokeza hadharani wakidai kutapeliwa na Nicole na kisha kuzima simu zake.

Habari Zilizotrendi:

Zungu Spika Mpya wa Bunge la Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali mpya

MWIGULU NCHEMBA NDIYE WAZIRI MKUU MTEULE