MSHINDI WA BSS 2025 NI MOSSES LUKA

Aliyekuwa Mshiriki wa Shindano la Kusaka Vipaji BSS) Moses Luka (DRC) ameibuka mshindi katika shindano hilo lililoanza mwishoni mwa mwaka 2024 na kumalizika Februari 28,2025 Moses ambaye ni raia wa Congo amewapiga chini washiriki wengine aliofika nao fainali kama vile Charles Burton (Dar es Salaam), Grace Celestian (Mwanza), Prisca Gretu (Babati),Saluh Kulwa (Dar es Salaam) na Martha May (Uganda).

Habari Zilizotrendi:

Wagonjwa wa Uviko-19 Waongezeka

Waziri Mkuu afanya ukaguzi wa viwanja

MECHI YA YANGA NA SIMBA IMEAHIRISHWA.