MWIGULU NCHEMBA NDIYE WAZIRI MKUU MTEULE


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Hassan Suluhu amempendekeza aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kinachosubiriwa kwa sasa baada ya jina kuwasilishwa kwa Spika wa Bunge ni mchakato wa kuthibitishwa kwa jina hilo na bunge

Habari Zilizotrendi:

Watumishi wa umma Uganda washurutishwa kufanya mazoezi kila wiki

Kutoka gerezani hadi urais: Hadithi ya Bassirou Faye wa Senegal

Wagonjwa wa Uviko-19 Waongezeka